BREAKING NEWSss: R.I.P STEVEN KANUMBA (Bongo Movie Star)
Habari za ghafla zilizotufikia mida hii kutoka kwa vyanzo mbalimbali vya habari nchini Tanzania; ni kwamba, Gwiji la filamu nchini humo Steven Kanumba katutoka, hatunae tena!! Mpaka saivi maiti yake iko mochwari hospitalini Muhimbili, Habari zaidi zenye uhakika zijawajia ivi karibuni! Atakumbukwa sana kwa mchango wake mkubwa nchini Tanzania katika tasnia ya uigizaji.Mungu akulaze mahala pema peponi Kanumba 'The Great'