‘Wengi hawana vipaji bali wanategemea uchawi’ asema TID

Mnyama TID amefunguka kuizungumzia ‘indirectly’ scandal inayomzunguka hitmaker wa Kesho, Diamond ya kupata mafanikio kwa kutumimia waganga wa kienyeji.

Kupitia Twitter Top in Dar ambaye jina lake halisi ni Khalid Mohamed ametweet kwa utani akisema, “ I really want to meet a witch doctor who can make me win big brother money ntatoa percentage we go thru a contract,Yupo?!

Mtandao wa Bongo5 ulimuuliza kama anamaanisha alichokiandika ambapo alijibu, “ am kidin mate I just heard some of them were making foolish artist look big ndo maana I make fool out it.”

Akijibu swali kama anaamini katika uchawi ama kama unaweza kumsaidia msanii asiye na kipaji afanikiwe, TID alisema, “I don't mean nobody all I know is all this mathaf**z they don't have talent all they have is witchcravity,huh.”